Friday, February 6, 2009

Gladness Hemedi Munuo Mratibu wa GEMSAT, Julitha Masanja Mkurugunzi Msaidizi wa Watoto Wizara ya jamii, jinsia na watotot na Mwenyekiti wa GEMSAT Dominica Haule.
Wanachama wa Gender and Media in Southern Africa Tanzania Chapter (GEMSAT) wakiwa katika uzinduzi wa kalenda ya siku 365 na robo za kupinga ukatili dhidi ya wanawake barani Afrika.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne.


Mzee Chenge alipotangaza kujiuzulu uwaziri wa miundo mbinu mara baada ya kupatikana na kashfa ya radar mwaka 2008.




No comments:

Post a Comment